fbpx

Vitu vya Kweli 10 Kuhusu Kabila la Masai (Maasai)!

Vitu vya Kweli 10 vya Kuvutia Kuhusu Kabila la Maasai
Vitu vya Kweli 10 vya Kuvutia Kuhusu Kabila la Masai! Kabila la Masai ni la watu wanaopatikana Afrika ya mashariki. Ni maarufu ulimwenguni kwa tamaduni yao ya kipekee na “kivutio maarufu cha kitalii” kwa watu wanaotembelea eneo hilo. Mimi binafsi, naliona ni la kuvutia! Kwahiyo leo ninakushirikisha kujuwa vitu vya kweli kumi kuhusu kabila la Masai! #1 Kabila la Masai linaishi...

Sherehe Ya Tohara ya Wamaasai (Jando)

Sherehe Ya Tohara ya Wamaasai
Sherehe Ya Tohara / Sherehe Ya Jando Katika jamii ya wamaasai- tohara ni moja ya sherehe muhimu zaidi ambayo wanaume na wanawake lazima wapitie. Leo sherehe hii inazingatiwa kuwa na umuhimu zaidi kwa wavulana kuliko wasichana. Wamaasai wengi hawatahiri (kufanya tohara) tena wasichana wao lakini wanaendelea na zoezi hili kwa wavulana. Masharti Sherehe ya tohara kwa wavulana hufanyika zaidi kati ya umri...

Utengenezaji wa Shanga na Vito wa Wamasai

Utengenezaji wa Shanga na Vito wa Wamasai
Utengenezaji wa shanga na vito wa Wamasai Ulimwenguni kote, makabila hujulikana na kutambulika kwa mavazi na mapambo yao. Inaweza kuwa Wamasai ni moja ya watu wanaotambulika sana kwa mitindo na mapambo, rangi angavu, vito vya mapambo ambavyo huning'inia na ving'ora vyenye kuvutia macho. Wamasai hutengeneza picha maarufu za mabibi harusi vijana waliojaa mapambo ya shanga nyingi, shanga za shingoni ambazo...

Demografia ya Watu wa Tanzania

Demografia ya Tanzania
Demografia ya Watu wa Tanzania Makala hii inahusu taarifa za demografia za wananchi wa Tanzania, ikiwemo uwiano wa idadi ya watu, Makabila, kiwango cha elimu, afya ya watu, hali ya kiuchumi, uhusiano wa kidini, na mambo mengine yanayowahusu wananchi. Mgawanyo wa idadi ya watu nchini Tanzania hauna usawa kabisa. Watu wengi wanaishi kwenye mpaka wa kaskazini au pwani ya mashariki, huku...

Imani za Kila Maasai (Masai) na Tamaduni Zao

Imani za Kila Maasai na Tamaduni Zao
Imani za Kila Maasai na Tamaduni Zao Imani za Kimaasai Wamaasai huamini katika Mungu anaeitwa ‘Nkai’, Mungu aliyepo kila mahali, japokuwa hawana uwezo wa kujua umbo wala nia yake, anaweza akadhaniwa kuwa na sifa zinazofanana na za mwanaadamu mzee sana. Heshima, maarifa yanayotokana na kuishi miaka mingi na uwezo wake wa kitamaduni katika kubariki na kulaani umuongeza heshima Mungu huyu mwenye nguvu...

Lini na Nini maana ya Siku ya Karume?

Lini na nini maana ya Siku ya Karume nchini Tanzania-2
Lini na nini maana ya Siku ya Karume nchini Tanzania? Siku ya Karume ni siku ya mapumziko ya Umma nchini Tanzania, inayoadhimishwa kila tarehe 7 ya mwezi Aprili. Pia inajulikana kama siku ya Sheikh Abeid Amani Karume, siku hii ni kumbukumbu ya kuuwawa kwa rais mzanzibari Abeidi Karume mwaka 1972. Ukweli kuhusu Abeid Amani Karume Sheikh Abeid Amani Karume (1905-1972), kiongozi wa kisiasa...

Sherehe ya Harusi ya Kimaasai (Kimasai)

Sherehe ya Harusi ya Kimaasai (Kimasai) - Bibi harusi wa kimaasai
Sherehe ya Harusi ya Kimaasai Katika jamii ya Wamaasai, ndoa uchukuliwa kwa umuhimu sana. Pale watu wawili wanapowekwa pamoja kuwa mume na mke, maharusi hawa wanatarajiwa kuishi pamoja milele; talaka sio chaguo labda kama mahari haikulipwa kwa utimilifu. Hata hivyo, kwa Wamaasai kushiriki ndoa na makabila na jamii zingine, talaka huanza kuingizwa taratibu, lakini ni kwa wenzi ambao wote wawili...

Sikukuu za Umma Nchini Tanzania

Sikukuu za Umma nchini Tanzania - Sherehe za Mapinduzi Zanzibar
Sikukuu za Umma nchini Tanzania Sikukuu za Umma nchini Tanzania ni kwa mujibu wa Sheria ya sikukuu za Umma (ilivyorekebishwa) mwaka, 1966 na huzingatiwa nchini kote.   Historia Sheria ya Sikukuu za Umma (Iliyorekebishwa) ya mwaka, 1966 imeorodhesha sikukuu kumi na mbili za umma katika ratiba yake. Kwa sasa, Tanzania ina jumla ya sikukuu za umma kumi na saba: sikukuu nane za kidini,...

Historia ya Wamasai (Wamaasai)

Historia ya Maasai
Historia ya Wamasai Kufika Afrika Mashariki Leo hii wamasai wana makazi yao sehemu za Kusini mwa Kenya  na Kaskazini kati mwa Tanzania. Historia ya wamasai inaonyesha kwamba wao ni jamii ya wafugaji na wanaishi kwa kuhamahama na ndio namna ya Maisha yao. Urithi wao ni watu na ng’ombe. Walihamia kutoka kusini mwa mto Naili kaskazini mwa Afrika kutoka karne ya kumi...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga