Demografia ya Watu wa Tanzania
Demografia ya Watu wa Tanzania
Makala hii inahusu taarifa za demografia za wananchi wa Tanzania, ikiwemo uwiano wa idadi ya watu, Makabila, kiwango cha elimu, afya ya watu, hali ya kiuchumi, uhusiano wa kidini, na mambo mengine yanayowahusu wananchi.
Mgawanyo wa idadi ya watu nchini Tanzania hauna usawa kabisa. Watu wengi wanaishi kwenye mpaka wa kaskazini au pwani ya mashariki, huku...
Utengenezaji wa Shanga na Vito wa Wamasai
Utengenezaji wa shanga na vito wa Wamasai
Ulimwenguni kote, makabila hujulikana na kutambulika kwa mavazi na mapambo yao. Inaweza kuwa Wamasai ni moja ya watu wanaotambulika sana kwa mitindo na mapambo, rangi angavu, vito vya mapambo ambavyo huning'inia na ving'ora vyenye kuvutia macho. Wamasai hutengeneza picha maarufu za mabibi harusi vijana waliojaa mapambo ya shanga nyingi, shanga za shingoni ambazo...
Vitu vya Kweli 10 Kuhusu Kabila la Masai (Maasai)!
Vitu vya Kweli 10 vya Kuvutia Kuhusu Kabila la Masai!
Kabila la Masai ni la watu wanaopatikana Afrika ya mashariki. Ni maarufu ulimwenguni kwa tamaduni yao ya kipekee na “kivutio maarufu cha kitalii” kwa watu wanaotembelea eneo hilo. Mimi binafsi, naliona ni la kuvutia! Kwahiyo leo ninakushirikisha kujuwa vitu vya kweli kumi kuhusu kabila la Masai!
#1 Kabila la Masai linaishi...
Sherehe za Wapiganaji wa Kimaasai
Sherehe za Wapiganaji wa Kimaasai
Baada ya tohara na sherehe za ujio wa umri, vijana wa kimaasai wanakuwa wanaume kamili na kuingia katika hatua nyingine ya maisha yao ambayo ni kizazi kipya cha wapiganaji. Kizazi kipya cha wapiganaji wa kimaasai uandaliwa kwa kipindi cha takribani miaka 7, vijana hawa uendelea kuwa wapiganaji kuanzia miaka 15 hadi 30. Kizazi kipya cha...
Asili za Vikundi vya Kikabila Tanzania
Asili ya Vikundi vya Kikabila katika Jamhuri ya Muungano
Kulingana na tafiti nyingi zinazoaminika, idadi ya watu Tanzania inajumuisha zaidi ya watu tofauti 120 wenye asili ya Kiafrika, ambao wengi wao wamekusanywa katika vikundi vikubwa. Kwa sababu ya athari za uhamiaji wa vijijini-hadi-mijini, usasa, na siasa, baadhi ya makabila
madogo yanapotea zaidi hatua kwa hatua.
Mwanzoni mwa miaka 5000 kabla ya zama...
Sherehe ya Harusi ya Kimaasai (Kimasai)
Sherehe ya Harusi ya Kimaasai
Katika jamii ya Wamaasai, ndoa uchukuliwa kwa umuhimu sana. Pale watu wawili wanapowekwa pamoja kuwa mume na mke, maharusi hawa wanatarajiwa kuishi pamoja milele; talaka sio chaguo labda kama mahari haikulipwa kwa utimilifu. Hata hivyo, kwa Wamaasai kushiriki ndoa na makabila na jamii zingine, talaka huanza kuingizwa taratibu, lakini ni kwa wenzi ambao wote wawili...
Imani za Kila Maasai (Masai) na Tamaduni Zao
Imani za Kila Maasai na Tamaduni Zao
Imani za Kimaasai
Wamaasai huamini katika Mungu anaeitwa ‘Nkai’, Mungu aliyepo kila mahali, japokuwa hawana uwezo wa kujua umbo wala nia yake, anaweza akadhaniwa kuwa na sifa zinazofanana na za mwanaadamu mzee sana. Heshima, maarifa yanayotokana na kuishi miaka mingi na
uwezo wake wa kitamaduni katika kubariki na kulaani umuongeza heshima Mungu huyu mwenye nguvu...