Mipangalio ya Kisiasa na Kijamii ya Kimaasai
Mpangalio wa Kisiasa na Kijamii ya Kimaasai
Mpangilio wa kijamii
Sifa kubwa ya tofauti katika Jamii ya kimaasai ni mfumo wa miaka ambao uwatofautisha wanaume wakubwa katika mifumo ya kimiaka ambayo inapishana kwa takribani miaka kumi na tano. Kila mfumo wa miaka uliowekwa umegawanyika katika pande mbili "upande wa kulia" ukifuatwa na "upande wa kushoto”. Kitu chenye umuhimu mkubwa kwenye jamii...
Lini na Nini maana ya Siku ya Karume?
Lini na nini maana ya Siku ya Karume nchini Tanzania?
Siku ya Karume ni siku ya mapumziko ya Umma nchini Tanzania, inayoadhimishwa kila tarehe 7 ya mwezi Aprili.
Pia inajulikana kama siku ya Sheikh Abeid Amani Karume, siku hii ni kumbukumbu ya kuuwawa kwa rais mzanzibari Abeidi Karume mwaka 1972.
Ukweli kuhusu Abeid Amani Karume
Sheikh Abeid Amani Karume (1905-1972), kiongozi wa kisiasa...
Sherehe za Wapiganaji wa Kimaasai
Sherehe za Wapiganaji wa Kimaasai
Baada ya tohara na sherehe za ujio wa umri, vijana wa kimaasai wanakuwa wanaume kamili na kuingia katika hatua nyingine ya maisha yao ambayo ni kizazi kipya cha wapiganaji. Kizazi kipya cha wapiganaji wa kimaasai uandaliwa kwa kipindi cha takribani miaka 7, vijana hawa uendelea kuwa wapiganaji kuanzia miaka 15 hadi 30. Kizazi kipya cha...
Sherehe za Kimaasai za Utoaji Majina kwa Watoto
Sherehe za Kimaasai za Utoaji Majina kwa Watoto
Mtoto wa Kimaasai anapozaliwa, hapatiwi jina rasmi, ila hupewa jina la muda tu linajulikana kama embolet, ikiwa ina maana ya Ufunguzi. Toka siku alipozaliwa, mpaka siku itakapofanyika sherehe ya kumpatia jina, mtoto atakuwa akitambulishwa kwa kutumia jina la embolet. Watoto wa Kimaasai huwa wanatofautiana kiumri wakati sherehe ya kutoa majina inapofanyika. Kutegemea...
Historia ya Wamasai (Wamaasai)
Historia ya Wamasai
Kufika Afrika Mashariki
Leo hii wamasai wana makazi yao sehemu za Kusini mwa Kenya na Kaskazini kati mwa Tanzania. Historia ya wamasai inaonyesha kwamba wao ni jamii ya wafugaji na wanaishi kwa kuhamahama na ndio namna ya Maisha yao. Urithi wao ni watu na ng’ombe. Walihamia kutoka kusini mwa mto Naili kaskazini mwa Afrika kutoka karne ya kumi...
Vitu vya Kweli 10 Kuhusu Kabila la Masai (Maasai)!
Vitu vya Kweli 10 vya Kuvutia Kuhusu Kabila la Masai!
Kabila la Masai ni la watu wanaopatikana Afrika ya mashariki. Ni maarufu ulimwenguni kwa tamaduni yao ya kipekee na “kivutio maarufu cha kitalii” kwa watu wanaotembelea eneo hilo. Mimi binafsi, naliona ni la kuvutia! Kwahiyo leo ninakushirikisha kujuwa vitu vya kweli kumi kuhusu kabila la Masai!
#1 Kabila la Masai linaishi...
Sherehe Ya Tohara ya Wamaasai (Jando)
Sherehe Ya Tohara / Sherehe Ya Jando
Katika jamii ya wamaasai- tohara ni moja ya sherehe muhimu zaidi ambayo wanaume na wanawake lazima wapitie. Leo sherehe hii inazingatiwa kuwa na umuhimu zaidi kwa wavulana kuliko wasichana. Wamaasai wengi hawatahiri (kufanya tohara) tena wasichana wao lakini wanaendelea na zoezi hili kwa wavulana.
Masharti
Sherehe ya tohara kwa wavulana hufanyika zaidi kati ya umri...
Mtoto wa Maasai Kipindi cha Utotoni
Mtoto wa Maasai Kipindi cha Utotoni
Ujauzito katika utamaduni wa kimaasai
Mwanamke mjamzito katika jamii ya wamaasai uhudumiwa kama malkia. Uandaliwa chakula chake katika namna ya kuhakikisha wote yeye na mtoto watabaki na afya. Ujazo na pia ubora wa chakula ambacho mwanamke ula wakati ni mjamzito uangaliwa kwa umakini ili kuhakikisha yeye na mtoto watakuwa na afya. Mwanamke mjamzito haruhusiwi kunywa...
Sherehe ya Harusi ya Kimaasai (Kimasai)
Sherehe ya Harusi ya Kimaasai
Katika jamii ya Wamaasai, ndoa uchukuliwa kwa umuhimu sana. Pale watu wawili wanapowekwa pamoja kuwa mume na mke, maharusi hawa wanatarajiwa kuishi pamoja milele; talaka sio chaguo labda kama mahari haikulipwa kwa utimilifu. Hata hivyo, kwa Wamaasai kushiriki ndoa na makabila na jamii zingine, talaka huanza kuingizwa taratibu, lakini ni kwa wenzi ambao wote wawili...