fbpx

Hadithi: Mwanamazingaombwe na Mwana wa Sultani

Mwanazingaombwe na Mtoto wa Sultani
Mwanamazingaombwe na Mwana wa Sultani Hapo zamani kulikua na sultani aliyekuwa na watoto watatu wa kiume, ambao hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wa kuwafundisha chochote kile; hali ambayo iliwahuzunisha sana sultani na mkewe. Siku moja mwanamazingaombwe alikuja kwa sultani na kusema, "Ikiwa nitawachukua watoto wako watatu wa kiume na kuwafundisha kusoma na kuandika, na kuwafanya wasomi wakubwa , utanipa nini?" Sultani akasema, "Nitakupa...

Hadithi: Mwalimu Goso

Mwalimu Goso
Mwalimu Goso Hapo kale kulikuwa na mtu aliyeitwa Go'so, ambaye aliwafundisha watoto kusoma, sio kwenye nyumba ya shule, bali chini ya mbuyu. Jioni moja, wakati Goso akiwa ameketi chini ya mti akisoma kwa undani masomo ya siku inayofuata, Paa, alipanda juu ya mti kwa ukimya sana kuiba matunda, na kwa kufanya hivyo alitikisa kibuyu, ambacho, wakati wa kuanguka, kikampiga mwalimu...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga