fbpx

Taasisi Husika Katika Sekta ya Viwanja vya Ndege

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Tanzania
Taasisi Katika Sekta ya Viwanja vya Ndege Tanzania na Masuala Muhimu Mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania (TAA) Mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania TAA ilianzishwa chini ya sheria ya wakala wa serikali No 30 ya mwaka 1997 ambayo ilizinduliwa rasmi Novemba 1999. Ni wakala unaojietegemea chini ya wizara ya uchukuzi (MOT) na hutoa ripoti kwa waziri. Pia una uongozi wa...

Changamoto za Miundombinu ya Usafiri wa Anga

Kiwanja cha Ndege Tabora mwaka 2008
Changamoto za Miundombinu ya Usafiri wa Anga Tanzania Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Julius Nyerere JNIA ni mlango mkuu wa kutokea na kiunganishi kikuu cha uchukuzi ndani ya nchi. Inahudumia mji mkuu wa Dar es salaam na ukadiriwa kuwa na umbali wa kilometa 10 kutoka kati kati ya jiji. Kwa mwaka 2011 uwanja ulirekodi mapito ya abiria bilioni 1.8...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga