fbpx

Je, Unaujuwa Kiasi Gani Usafiri wa Reli Nchini?

Treni ya Tazara na Abiria
Uchambuzi wa Kina Kuhusu Usafiri wa Reli Nchini Tanzania Mwaka 2008 Tanzania ilikuwa na kilomita 3,689 (2,292 maili) za barabara ya reli, ikiwa ya 46 duniani kwa urefu. Inajumuisha kilomita 2,720 (maili 1,690) za milimita 1,000 (futi 3 na inchi 3 3/8) na kilomita 969 (maili 602) za milimita 1,067 (futi 3 na inchi 6). Tarehe 31 mwezi wa tatu...

Changamoto za Miundombinu ya Usafiri wa Anga

Kiwanja cha Ndege Tabora mwaka 2008
Changamoto za Miundombinu ya Usafiri wa Anga Tanzania Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Julius Nyerere JNIA ni mlango mkuu wa kutokea na kiunganishi kikuu cha uchukuzi ndani ya nchi. Inahudumia mji mkuu wa Dar es salaam na ukadiriwa kuwa na umbali wa kilometa 10 kutoka kati kati ya jiji. Kwa mwaka 2011 uwanja ulirekodi mapito ya abiria bilioni 1.8...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga