fbpx

Usafiri wa Anga – Ndege za Abiria na Mizigo

Air Tanzania - Mabawa ya Kilimanjaro
Usafiri wa Anga - Muhtasari Mfupi wa Ndege za Abiria na Mizigo Viwanja vya ndege Tanzania vina mchango mkubwa katika miundombinu ya usafirishaji nchini. Pamoja na kuwa mlango wa kimataifa, viwanja vya ndege vina historia ya kutumika kwa ajiri ya usafiri wa ndani na kuongoza kwenye utoaji fursa za kimaendeleo vijijini. Kwa ujumla, nchi ina viwanja vya ndege 368, na...

Taasisi Husika Katika Sekta ya Viwanja vya Ndege

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Tanzania
Taasisi Katika Sekta ya Viwanja vya Ndege Tanzania na Masuala Muhimu Mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania (TAA) Mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania TAA ilianzishwa chini ya sheria ya wakala wa serikali No 30 ya mwaka 1997 ambayo ilizinduliwa rasmi Novemba 1999. Ni wakala unaojietegemea chini ya wizara ya uchukuzi (MOT) na hutoa ripoti kwa waziri. Pia una uongozi wa...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga