fbpx

Hadithi: Mkaa Jikoni, Kijana Mwindaji

Kijana mwindaji - Mkaa Jikoni
Mkaaah Jeechonee (Mkaa Jikoni), Kijana Mwindaji  Sehemu ya Kwanza Sultani Maaj′noon alikuwa na watoto saba, na paka mkubwa, vitu ambavyo vilimfanya ajionee fahari sana. Kila kitu kilienda vizuri, hadi siku moja paka alipomkamata ndama. Walipomfikishia taarifa sultani akasema, “Jambo jema, paka ni wangu, na ndama ni wangu.” Hivyo wakamjibu “sawa, mkuu,” basi tuliache suala hili. Siku chache baadae yule paka alimkamata mbuzi; na...

Hadithi: Kima, Papa na Punda wa Dobi

Kima
Kima, Papa na Punda wa Dobi Hapo zamani za kale Kee′ma(kima) na Pa’pa (Papa) walikuwa marafiki wakubwa. Kima aliishi katika mti mkubwa wa mkuyu uliokua kando ya bahari, nusu ya matawi yake yakiwa baharini na nusu ardhini. Kila asubuhi, wakati kima alipokuwa akila  matunda ya mkuyu, papa alionekana chini ya mti na kumwambia, "Nirushie chakula, rafiki yangu;" .Ambapo kima alikubali kwa moyo mmoja. Hii...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga