fbpx

Hadithi: Mwanamazingaombwe na Mwana wa Sultani

Mwanazingaombwe na Mtoto wa Sultani
Mwanamazingaombwe na Mwana wa Sultani Hapo zamani kulikua na sultani aliyekuwa na watoto watatu wa kiume, ambao hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wa kuwafundisha chochote kile; hali ambayo iliwahuzunisha sana sultani na mkewe. Siku moja mwanamazingaombwe alikuja kwa sultani na kusema, "Ikiwa nitawachukua watoto wako watatu wa kiume na kuwafundisha kusoma na kuandika, na kuwafanya wasomi wakubwa , utanipa nini?" Sultani akasema, "Nitakupa...

Hadithi: Mtoto wa Tabibu na Mfalme wa Nyoka

Mtoto wa Tabibu na Mfalme wa Nyoka
Mtoto wa Tabibu na Mfalme wa Nyoka Sehemu ya kwanza Kulikuwa na tabibu msomi, alikufa na kumwacha mke wake na mtoto wa kiume, alipokuwa mkubwa mkewe alimwita yule mtoto jina kulingana na mapenzi ya baba yake, Hassee′boo Kareem′ Ed Deen′. Mtoto alipokwenda shule, na kujifunza kusoma, mama yake alimpeleka kwa fundi mshona nguo ajifunze hio biashara lakini hakufanikiwa kujifunza. Basi baada ya...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga