fbpx

Hadithi: Mwanamazingaombwe na Mwana wa Sultani

Mwanazingaombwe na Mtoto wa Sultani
Mwanamazingaombwe na Mwana wa Sultani Hapo zamani kulikua na sultani aliyekuwa na watoto watatu wa kiume, ambao hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wa kuwafundisha chochote kile; hali ambayo iliwahuzunisha sana sultani na mkewe. Siku moja mwanamazingaombwe alikuja kwa sultani na kusema, "Ikiwa nitawachukua watoto wako watatu wa kiume na kuwafundisha kusoma na kuandika, na kuwafanya wasomi wakubwa , utanipa nini?" Sultani akasema, "Nitakupa...

Social

99,345MashabikiKupenda
89,069WafuasiKufuata
98,310WafuasiKufuata
6,394WanachamaKujiunga