Mipango ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Uchumi
Tanzania ya Mwaka 2050: Mabadiliko ya Uchumi na Hali ya Hewa
Muonekano wa Tanzania utakuwa na utofauti mkubwa kabisa katikati ya karne hii ya 21. Tanzania ina malengo ya kufikia hadhi ya kipato cha kati ifikapo mwaka 2025, pamoja na kujumuisha sekta ya kilimo cha kisasa kitakachowainua wakulima wadogo kutoka kwenye
umaskini, kuongezeka kwa ugawaji umeme, na Pato la Taifa kuimarika...